Mwanga wa ulimwengu (kwa Kigiriki φώς τοῦ κόσμου, Phṓs tou kósmou) ni neno ambalo Yesu alilitumia kujitambulisha pamoja na wanafunzi wake katika Agano Jipya[1]: linapatikana katika Injili ya Yohane kumhusu yeye (8:12; 9:5) [2] na katika Injili ya Mathayo 5:14 kuhusu wanafunzi.